Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sirro aahidi amani siku ya Eid

Jumapili , 25th Jun , 2017

Jeshi la Polisi limewataka Waislam na Wananchi kusheherekea Sikukuu ya Eid El Fitr kwa utulivu na amani huku likiwahakikishia ulinzi na kuahidi kupambana na wale wote wataotaka kufanya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu.

Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro

Akizungumza Mkoani Kilimanjaro, ambapo sherehe za Idd zinatarajiwa kufanyika kitaifa ambapo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atakua Mgeni Rasmi, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema jeshi hilo halitamvumilia mtu yoyote atakayefanya uhalifu katika msimu huu.

IGP Sirro amewataka waislam kuendeleza matendo mema waliyokuwa wakiyafanya katika kipindi chote cha Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ikiwemo kudumisha umoja, amani na ushirikiano.

Pamoja na hayo ameongeza kwamba, Sherehe hizo zinaunganisha taifa pamoja na dunia nzima kwa furaha na amani hivyo, Watanzania hawana budi kudumisha amani ya nchi iliyopo kwa sasa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava