Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simiyu hatarini na Kifua Kikuu

Jumatano , 22nd Mar , 2023

 Imeelezwa kuwa kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi ikiwamo uchimbaji wa madini na uvuvi mkoani Simiyu, umesababisha ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) mkoani humo.

Mratibu wa Kudhibiti ugonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma Mkoa wa Simiyu, Emmanuel John, ameyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari Mjini Bariadi.

“TB kwenye Mkoa wa Simiyu inaongezeka (maambukizi) kutokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi, hususani wachimbaji wadogo wadogo wa madini na kambi za uvuvi kule Busega. Mwaka jana tulikuwa na wagonjwa 3,600 ikilinganishwa na mwaka juzi ambapo tulikuwa na wagonjwa 2,700,” amesema Emmanuel.

Mratibu huyo ameogeza kwamba kwa mujibu ripoti ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa mwaka 2021, Tanzania ilikuwa na watu 132,000 walioambukizwa ugonjwa huo, na kwamba mpango wa Taifa ni kutokomeza ugonjwa wa Kifua Kikuu ifikapo mwaka 2030.

Hata hivyo, jamii imeshauriwa kuchukuwa tahadhari kwa kuvaa barakoa kwenye msongamano wa watu, ili kuepusha na hatari ya maambukizo ya ugonjwa huu wa Kifua Kikuu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava