Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Silaha 50 zakamatwa makazi ya wakimbizi Katavi

Jumatano , 26th Feb , 2020

Takribani silaha 50 zimekamatwa kwenye makazi ya wakimbizi, eneo la Katumba Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, wakati wa oparesheni iliyopewa jina la 'Safisha Katumba 2020' iliyofanywa na JWTZ kwa ajili ya kukamata silaha wanazotumia kwenye vitendo vya kihalifu na ujangili.

Mkuu wa Brigedia ya Magharibi, Brigedia Jenerali John Mkunda,

Akitoa taarifa kwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mkuu wa Brigedia ya Magharibi 202 KJ, Brigedia Jenerali John Mkunda, amesema kuwa katika oparesheni hiyo wamefanikiwa kukamata silaha takribani 50 zikiewemo SMG 13, G Three (3), Rifle (1), gobole 33 pamoja na risasi 32.

Mkuu huyo wa Brigedia ya Magharibi amesema kuwa matukio ya uhalifu yamekithiri katika Wilaya ya Katumba ambako wanaishi Watanzania wengi wenye asili ya Burundi.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Juma Homera amewataka wananchi wanaoishi katika maeneo hayo kusalimisha silaha kwa hiari yao kwani hawatosalimika wasipofanya hivyo.

"Mtakumbuka hivi karibuni Mheshimiwa Rais alipotembelea hapa alionesha kusikitika kutokana na vitendo vya kihalifu vinavyotokea katika mkoa wetu na raia hawa wa Burundi ambao waliomba uraia wa kuishi Tanzania. Kwahiyo nawaambia hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe lingine", amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

HABARI ZAIDI

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala