Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yateua Dodoma

Jumatano , 6th Dec , 2017

Serikali imeuteua mkoa wa Dodoma kuwa mwenyeji wa sherehe za maadhimisho ya kutimiza miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania bara yatakayofanyika Desemba 9, katika uwanja wa Jamhuri.

Mgeni rasmi katika sherehe hizo za maadhimisho anatarajiwa kuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

Uongozi wa mkoa wa Dodoama ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa umeunda kamati ya maandalizi kwa ajili ya sherehe hizo, na maandalizi muhimu tayari yamekamilika.

Akiongea na waandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Bilinith Mahenge, ametaja kuwa maonesho hayo yatapambwa na  gwaride la heshima lililoandaliwa na vikosi vya ulinzi na usalama nchini, onesho la vikosi vya Komandoo, kwata ya kimyakimya na gwaride la mkoloni kutoka Jeshi la Polisi .

Kufanyika kwa gwaride la mkoloni katika maadhimisho hayo ya uhuru, itakuwa ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake.

Kauli mbiu mwaka huu ni 'Uhuru wetu ni tunu, tuudumishe, tulinde rasilimali zetu, tuwe wazalendo, tukemee rushwa na uzembe'.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava