Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kugawa saruji kila Kata

Ijumaa , 22nd Jan , 2021

Halmashauri ya wilaya ya Geita, imetenga bajeti ya shilingi bilioni 78, kwa mwaka wa fedha 2021/2022, huku ikija na mpango wa kugawa saruji kila Kata, ambazo zitatumika katika uanzishaji wa ujenzi wa vyumba vya madarasa na zahanati.

Saruji

Hayo yamejiri hii leo Januari 22, 2021, mara baada ya baraza la madiwani wilayani humo, kumaliza kupitisha mpango wa bajeti kwenye baraza hilo, huku baadhi ya madiwani hao akiwemo Jeremia Ikangala, akisema kuwa mpango wa kupeleka saruji katika kila Kata za wilaya hiyo utapunguza changamoto ya miundombinu ya shule katika kata zao.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM wilayani humo Barnabas Mapande, amewahamasisha wazazi kujitahidi kupata vyeti vya kuzaliwa vya watoto wao ili kupunguza usumbufu wakati wa usajili ngazi mbalimbali ya elimu.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Donald Nsoko,amesema kuwa wanakabiliwa na upungufu wa vyumba vya madarasa hivyo wametenga zaidi ya shilingi milioni 94, kwa ajili ya uanzishai na umaliziaji wa ujenzi wa vyumba vya madarasa.

HABARI ZAIDI

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala