Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ruwasa ndio jawabu la matatizo ya maji 

Jumatatu , 12th Apr , 2021

Waziri wa Maji Juma Aweso amekiri moja ya changamoto ya miradi ya maji ni usimamizi huku akisema uanzishwaji wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) umesaidia katika kutatua baadhi ya changamoto.

Waziri wa Maji Juma Aweso

Aweso ameeleza hayo akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya ambaye alitaka kujua kama Serikali ipo tayari kufanya ukaguzi maalum nini chanzo cha miradi kukamilika na maji hayatoki au ni nini kinachosababisha miradi ichukue muda mrefu kwani Wizara ya Maji imekuwa ikitengewa pesa nyingi tangu 2016 lakini ufaniisi na ubora na kinachokusidiwa hakipo.

"Nikiri moja ya changamoto kubwa ya miradi ya maji ni usimamaizi, lakini Mhe. Spika bunge lako tukufu limeona hili ndiomaana tukaanzisha wakala wa maji vijijni RUWASA na kuhakikisha Wahandisi waliokuwa chini ya Halmashauri wanakuwa chini ya Wizara, nataka nimuhakikishie mbunge tumeshaainisha miradi zaidi ya 177 na RUWASA imeshaanza kuitatua miradi hiyo zaidi 85," amesema Aweso.

Pia, Waziri Aweso alitumia nafasi hiyo kutoa onyo kwa wahandisi wa maji pamoja na wakandarasi wa maji kutokuchezea miradi ya maji kwani watashughulikiwa ipasavyo.
 

HABARI ZAIDI

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania