Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia awarejesha Makamba na Mbarawa

Jumatatu , 13th Sep , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza la Mawaziri akiwateua January Makamba, Dkt. Stergomena Tax, Prof. Makame Mbarawa, na Dkt. Ashatu Kijaji.

Mbunge wa Bumbuli January Makamba ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana Septemba 12, 2021, Rais Samia amemteua Mbunge wa Bumbuli January Makamba kuwa Waziri wa Nishati, akichukua nafasi ya Merdard Kalemani ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Aidha, Rais amemteua Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari akichukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Dkt. Ashatu Kijaji

Pia amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, akichukua nafasi ya iliyoachwa na Marehemu Elias Kwandikwa.

Dkt. Stergomena Tax

Naye Prof. Makame Mbarawa ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi akichukua nafasi ya Mhandishi Dkt. Leonard Chamuriho ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Prof. Makame Mbarawa

Wakati huo pia Rais Samia amemteua Dkt. Eliezer Feleshi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Prof. Adelardus Kirangi ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.

Dkt. Eliezer Feleshi

Viongozi hao wote walioteuliwa jana wataapishwa leo katika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava