Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Natamani kuwalipa hata elfu 30' - Rais Samia

Ijumaa , 7th Mei , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatamani kuwalipa wazee wote hata shilingi elfu 30 kwa mwezi lakini hali ya uchumi inamkwamisha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Amesema hayo leo Mei 7, 2021 alipoongea na wazee wa Dar es salaam katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

''Suala la wazee wote kuwalipa pensheni tulianza kulijadili serikalini tangu mwaka 2014 tukaona mzigo ni mkubwa sana, tukaenda angalau kuanzia miaka 70 bado mzigo ukawa ni mkubwa, sitaki kuwadanganya wazee wangu'' - Rais Samia Suluhu.

''Natamani sana ningewalipa hata pensheni ya elfu 30, ila kwa hali ilivyosasa, hali ya uchumi wetu Tanzania tumeshuka kutoka asilimia 7 mpaka 4.7 kutokana na janga la Corona, naomba mnipe muda niangalie uchumi wetu unaendaje'' - Rais Samia Suluhu.

Aidha suala la wazee kuwa na uwakilishi bungeni Rais Samia amesema, ''Suala la uwakilishi bungeni na kwenye mabaraza mengine ni la muhimu sana, lakini nikishukuru chama changu cha CCM kimetambua kundi la wazee na wazee wanawakilishwa vizuri kupitia nafasi ya umoja wa wazazi''.

''Lakini kwasababu mmezunguma nami ila kwa bahati mbaya tumamemaliza nafasi za uteuzi kwa kipindi hiki ila mbeleni huko kujako tutalizingatia hili'' - Rais Samia.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava