
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa Uteuzi huo unaanza rasmi leo, 23/04/2021.
Aidha, Rais Samia amemteua Bi. Sophia Elias Kaduma kuwa Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
