Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prophet Bushiri, mkewe kizimbani kwa utakatishaji

Jumatano , 21st Oct , 2020

'Prophet' ambaye ni Bushiri kiongozi wa kanisa la Enlightened Christian Gathering na mkewe wamefikishwa Mahakama maalum ya uhalifu wa kibiashara Jijiji Pretoria nchini Afrika Kusini Jumatano ya leo, Oktoba 21, 2020.

'Prophet' Bushiri na mkewe

Hartua hiyo imefuatia baada ya kutiwa mbaroni hapo jana Jumanne kwa tuhuma za utakatishaji fedha kiasi cha Randi Milioni 102 sawa na fedha za kitanzania zaidi ya Bilioni 14.

Bushiri na mkewe walikamatwa nyumbani kwao baada ya kudaiwa kujaribu kuikwepa timu maalum ya Hawks iliyokuwa ikiwasaka, hivyo baada ya kukamatwa waliongozana na timu hiyo kuelekea kituo cha polisi cha Silverton na kikundi cha mawakili wao, amesema Msemaji wa Hawks Kanali Katlego Mogale.

Taarifa ya kanisa la Enlightened Christian Gathering ambayo ilitolewa kabla ya kukamatwa, inasema kwamba waliarifiwa na Mawakili wa Bushiri siku ya Jumatatu Alasiri kuwa Hawks waliomba kiongozi wao afike katika ofisi zao kuhusiana na uwekezaji wake unaohusiana na kampuni inayoitwa Rising Estate

Hii ni kesi ya pili ya utakatishaji fedha ambayo eerikali inafuatilia dhidi ya Prophet ambaye anayetajwa kuwa miongoni wa Wachungaji tajiri zaidi wa bara la Afrika.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava