Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi wapewa mafunzo juu ya kuhudumia watalii

Ijumaa , 13th Mei , 2022

Jeshi la Polisi nchini limeanzisha kitengo maalumu cha utalii na diplomasia ambacho kipo kwa ajili ya kuwahudumia watalii na wanadiplomasia wanaofika nchini na kwamba limejipanga kuimarisha ulinzi na usalama baada ya Rais Samia kuzindua filamu ya The Royal Tour kwa lengo la kukuza utalii.

Kushoto ni kituo cha polisi cha utalii Arusha na kulia ni ACP Justine Masejo

Akitoa taarifa hiyo kwa niaba ya msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Justine Masejo, amesema mkoa huo ambao ni kitovu cha utalii nchini kimeanzisha kituo cha Polisi maalumu kwa ajili ya kuhudumia watalii na wanadiplomasia ambapo Askari wake wamewapatiwa mafunzo ndani na nje ya nchi juu ya namna bora ya kuhudumia watalii. 

Pia amesema kuwa kuna magari maalum ambayo hutumiwa na kituo hicho kwa ajili ya doria mbalimbali ikiwemo kwenye vivutio vya utalii, hoteli za kitalii pamoja na maeneo mengine ambayo wageni hupenda kutembelea.

Aidha ACP Masejo amesema kuwa kuna vituo vidogo vya Polisi vilivyopo katika wilaya ya Arumeru, Monduli, Longido, na Karatu ambapo magari ya utalii hufika kwa ajili ya kupata taarifa za kitalii pamoja na ukaguzi wa usalama wa magari hayo.

HABARI ZAIDI

Bajaji iliyotumika kubeba dawa za kulevya

Mtuhumiwa wa dawa za kulevya na mauaji mbaroni

Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

Mkakati mpya wa kuajiri walimu watangazwa Tanzania

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.

Tanzania & Dernmark zitaboresha ya mifumo ya kodi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi