Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi Kagera waanza msako wezi wa kichanga

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Jeshi la polisi mkoani Kagera limeanza uchunguzi wa kubaini watu wasiofahamika waliohusika na wizi wa mtoto mchanga wa kike Benita Beneti mwenye umri wa mwezi mmoja, ambaye anadaiwa kuibwa Desemba 01/2022 majira ya usiku, katika mtaa wa Migera kata ya Nshambya katika manispaa ya Bukoba

Kamanda wa polisi mkoani Kagera William Mwampaghale amesema kuwa siku ya tukio majira ya saa moja usiku mama huyo Johanitha Augustino alitembelewa na marafiki zake watatu ambao aliwahi kuishi nao zamani katika mtaa wa Omukigusha kwa lengo la kumsalimia, na kwamba baada ya kumsalimia waliaga kundoka na baadae wawili walirejea kwa mama huyo na kudai wana mazungumzo naye.

"Mama huyo alikataa na kuahidi kufanya mazungumzo hayo kesho yake tarehe 02/12/2022 majira ya mchana, ndipo watu hao wakamuomba awasindikize, mara baada ya kuwasindikiza alirejea chumbani kwake hakumkuta mtoto wake aliyekuwa amelala kitandani, ndipo alipobaini kuwa ameibwa" amesema.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava