Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyalandu kumtibu Lissu Marekani?

Jumatano , 20th Sep , 2017

Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amedai amekuwa akisubiri ripoti ya madaktari wa Nariobi ili kumruhusu Mbunge Tundu Lissu waweze kumpeleka katika hospitali ya madaktari bingwa wa Marekani, lakini bado wamekuwa wazito kuwaandikia ripoti.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mh. Nyalandu ameandika kwamba alirudi jijini Nairobi kwa ajili ya maandalizi ya uwezekano wa kumhamishia Mh Lissu Marekani kwa ajili ya huduma yenye ubora zaidi, endapo madaktari wa Nairobi wangeridhia.

"Tumekuwa Nairobi Hospital tukisubiri madaktari watoe ripoti ya mwenendo wa matibabu ya Mh Tundu Lissu kwa minajili ya kuwapatia madaktari bingwa wa Marekani na kuona uwezekano wa Mh Tundu Lissu kupatiwa rufaa kwa matibabu zaidi nje, lakini bado kalamu zao ni nzito kuandika ripoti hii siku ya tatu tangu tuahidiwe"

Ameongeza kuwa "Kesho asubuhi (leo) itarejea hospitalini kusikiliza kauli ya mwisho yamadaktari  kuhusu ripoti hiyo".

Mbunge Tundu Lissu alipelekwa hospitali ya Nairobi kupatiwa matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa ametoka kwenye vikao vya bunge majira ya mchana maeneo ya Area D mkoani Dodoma.

Taarifa kutoka kwa viongozi mbalimbali waliomtembelea hospitalini hapo wamekuwa wakitoa shuhuda kuwa Mbunge Lissu alijeruhiwa na anahitaji matibabu yaliyo bora zaidi ili kuokoa maisha yake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava