Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu ya wanaopata fistula hawafiki hospitali

Jumanne , 23rd Mei , 2017

Wanawake nane kati ya 10 wenye ugonjwa wa fistula wanaopokelewa katika hospitali ya walemavu ya CCBRT Jijini Dar es Salaam huwa wanafanyiwa vitendo vya unyanyapaa kwenye ngazi ya familia na jamii kutokana na kuugua ugonjwa huo.

Msimamizi mkuu wa wodi ya wagonjwa wa fistula katika hospital ya CCBRT, Bi. Mariam Karata ameaimbia Kurasa ya EATV kuwa katika wanawake hao kumi, saba kati yao nao wamechwa na waume zao baada ya kupata maradhi hayo ya Fistula.

Kwa upande wao baadhi ya wanawake waliopata ugonjwa huo wameziomba familia na jamii kuacha kuwanyanyapaa watu wenye tatizo la Fistula badala yake kuwasaidia kwa kuwapa elimu ambayo itawasaidia kupata matibabu sahihi kwa kuwa ugonjwa huo unatibika kabisa.

"Sisi tuishauri jamii, Fistula ni tatizo...Tunaita fistula ya uzazi kwa sababu inawapa wakina mama kipindi cha kujifungua kutokana na uchungu pingamizi wa muda mrefu na fistula inatibika wasiwanyanyapae.....Hili tatizo linaweza likamkuta mtu yoyote hakuna anayemjua litakayemkuta lakini ni tatizo ambalo halitokani na imani za kishirikina". Alisema Karata 

Takwimu za ugonjwa wa fistula hapa nchini zinaonesha kuwa takribani wanawake elfu 3 wanapata tatizo la ugonjwa huo kila mwaka kati ya hao nusu yake ndio wanafika hospitali kwa ajili ya kupata matibabu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava