Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nembo ya Benki yatengenezwa kwa Mil. 495

Alhamisi , 22nd Aug , 2019

Kufuatia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  Profesa Mussa Assad ya mwaka wa fedha 2017/2018, aliyoiwasilisha Bungeni mapema mwa mwaka 2019, iliyoeleza gharama ya utengenezaji wa nembo ya Benki ya TPB, imekuja na sura mpya.

Uzinduzi wa nembo ya Bank ya Posta (TPB).

Kufuatia hali hiyo,  Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC ) imeiagiza benki hiyo kupeleka mikataba miwili ya zabuni ya utengenezaji wa nembo ya benki kwa ajili ya kupitia baada ya kubaini upungufu.

Akizungumza jana Agosti 21, 2019 Mwenyekiti wa kamati hiyo, Naghejwa Kaboyoka, amesema lengo la kufanya hivyo ni kuhakikisha mashirika yanafuata sheria ya manunuzi ya umma ili kufanya kazi kwa ufanisi na kuongeza mpato ya Serikali kuu.

''Wanashindwa kutimiza na kusimamia fedha za umma wakijua kuwa watabebwa bebwa tu, wanapaswa kutambua Serikali haitaingilia hilo'' amesema Mwenyekiti wa PAC.

Ripoti ya CAG ilibainisha kuwa, utengenezwaji wa nembo ya benki  hiyo uligharimu kiasi cha shilingi milioni 495, ambapo CAG alisema uamuzi wa bodi ya wazabuni ni wa kutia shaka kwani gharama hiyo ilikuwa na ongezeko la mara mbili ya zabuni ya kwanza iliyokuwa imepitishwa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava