Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini leo yaibukia Buza

Jumamosi , 19th Mei , 2018

Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na kampuni ya EATV LTD yenye lengo la kuwasaidia watoto wa kike wanapokuwa katika kipindi cha hedhi imewafikia wanafunzi wa shule ya sekondari Buza.

Akiwasilisha msaada huo Afisa Masoko wa EATV LTD Basilisa Biseko amesema kuwa lengo la Kampeni hiyo ni kumsaidia mtoto wa kike kuondokana na tatizo la kushindwa kuhudhuria shuleni wakati wa kipindi cha hedhi.

“Namthamini imekuja ili kusaidia kuondokana na tatizo la mabinti wengi wa kitanzania kutohudhuria vipindi mashuleni pindi wanapokuwa kwenye hedhi kutokana na kukosa taulo za kike”, amesema Basilisa.

       Mbunge wa Temeke Mh. Abdallah Mtolea akigawa taulo za kike kwa mabinti wa Sekondari ya Buza.

Kwa upande wake Mbunge wa Temeke Mh. Abdallah Mtolea ameishukuru EATV kwa kutambua na kuthamini mchango wa mtoto wa kike katika Jamii na kuahidi kuwa ataungana nao katika kufanikisha kampeni hiyo miaka yote.

Naye Mkuu wa shule ya Sekondari Buza Bi. Ruthbetha Magomi amesema kuwa elimu kuwa msaada huo kwa shule yake utasaidia kunufaisha mabinti wengi ambao wanapata changamoto pindi wanapokuwa katika mzunguko wa hedhi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava