Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Na akili zangu timamu sikabidhi kitu kibaya"- RC

Jumatano , 3rd Feb , 2021

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amekataa kukabidhi madawati 50 pamoja na meza 10 za walimu katika shule ya msingi Mtakanini iliyopo wilaya ya Namtumbo  mkoani humo baada ya kukuta meza pamoja na madawati yakiwa mabovu na kuagiza yaende yakafanyiwe marekebisho.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme

Hatua hiyo imejiri wakati alipokwenda kuzindua vyumba viwili vya madarasa pamoja na kukabidhi madawati 50 na meza 10 za waalimu katika shule ya Mtakanini iliyopo mkoani humo.

"Madawati yameshavimba tayari hata mtoto hajakalia, meza imeachia, kiti kimeachia wakikaa sketi zitachanika naomba marekebisho yakafanyike, Haya madawati wala meza sikabidhi mpaka zikafanyiwe marakebisho, siwezi kukabidhi kitu kibovu namna hiyo, hawezi kututengeneza kitu kibovu cha namna hii, mimi na akili zangu timamu nakabidhi kitu kibaya namna hii siwezi", amesema RC Mndeme

Awali akielezea changamoto ambazo zinaikabili shule hiyo, mkuu wa wilaya ya Namtumbo Sophia Kizigo, amesema shule hiyo inakumbwa na changamoto ya ukosefu wa madawati 40 pamoja na meza za walimu hali inayofanya wanafunzi kushindwa kushiriki masomo kikamilifu.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava