Mzee Ramadhan Rashid
Mzee Ramadhan, amejiunga na wenzake zaidi ya 300 waliokua hawajui kusoma, kuandika na kuhesababu kabisa, kwa lengo la kujua kusoma, kuandika na kuhesabu.
Mzee Ramadhan amesema, amefikia hatua hiyo kutokana na changamoto aliyokuwa akikumbana nayo hasa wakati wa kusoma mikataba ya mauziano ya mashamba, hali iliyompelekea kurudi darasani kupata elimu hiyo.