Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwili wa mtekaji Arusha bado mtihani

Jumanne , 12th Sep , 2017

Baada ya kuwepo taarifa  za familia ya marehemu Samson Peter kugoma kuzika mwili wa kijana huyo ambaye aliwateka na kuwaua watoto wawili, hospitali ya Mt. Meru imesema haijapokea taarifa zozote kuthibitisha hilo na kwamba mwili huo bado wameuhifadhi.

Samson Peter

Habari zilizopo kutoka kwa msimamizi wa chumba cha kuhifadhia maiti Hospitalini hapo, Francis Coster akiongea na kituo kimoja cha TV amesema hakuna ndugu yeyote aliyejitokeza kuja kudai mwili kwaajili ya maziko na wamekuwa wakisikia taarifa za kugomewa mwili huo kutoka kwenye vyombo  vya habari.

Aidha amebainisha kuwa taratibu za maziko ya marehemu  mbalimbali ambao  ndugu zao hawakujitokeza mapema hospitali hufanya taratibu za mazishi  baada ya siku 21.

Samsoni alifikwa na mauti kwa kupigwa risasi na Polisi  Murieti Jijini Arusha September 6, mwaka huu alipojaribu kutoroka wakati akienda kuwaonyesha askari watu alioshirikiana nao kufanya utekaji na mauaji hayo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava