Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa pole Mjane wa aliyekua Waziri Mkuu Mstaafu, Marehemu Edward Lowassa, Regina Lowassa, nyumbani kwake Masaki, jijini Dar es Salaam, Februari 11.2024.

11 Feb . 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo wakati akichangia taarifa ya utekelezaji ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira bungeni jijini Dodoma.

10 Feb . 2024