
Hukumu hiyo dhidi ya Isaya Makali Lucas katika shauri la jinai Na. 03/2024, imetolewa chini ya Mhe. Maria Batulaine – Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Lindi Febuari 7, 2024.
Mshtakiwa huyo alipokea hongo ya Shilingi 70,000/= kutoka kwa ndugu wa mgonjwa Bw. Yusufu Hamisi Juma, ambaye alikua anamuuguza Bw. Saidi Omari Nyanyari.
Hata hivyo Mshtakiwa huyo amelipa faini ya TZS. 500,000/ = kwa kila kosa na kuachiwa huru.