Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtwara kupigishwa kwata

Jumapili , 20th Aug , 2017

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego amesema ataandaa mafunzo maalumu ya ukakamavu kwa ajili ya watendaji wote wa serikali mkoani humo wakiongozwa na yeye mwenyewe kwa ajili ya kuwaweka imara viongozi hao.

Akizungumza mkoani humo, Dendego amesema wapo baadhi ya watendaji ambao wanabweteka katika utendaji kazi, hivyo kupitia mafunzo hayo anaimani watapiga kwata la maendeleo kwa wananchi wanaowaongoza.

"Viongozi wote nitawaandalia mafunzo maalumu, Tukafungiane tukapige kwata na tukirudi tupige kwata la maendeleo. Wale ambao walipita jeshini wao wataji-brush tu" alisema

Aidha, mkuu huyo wa mkoa akaeleza dhamira yake ya kubuni vazi la kizalendo la mkoa huo ambalo litavaliwa na viongozi wote wa serikali katika siku zote za kazi ili kuwarahisishia wananchi kuwatambua viongozi wao.

Oktaviani Lepembile ni afisa tarafa wa Mtwara mjini, anaeleza namna alivyopokea mapendekezo hayo ya mkuu wa mkoa.

Sikiliza hapa chini akifafanua zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava