Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkakati wa kukuza utalii wazinduliwa

Jumanne , 27th Sep , 2022

Wizara ya maliasili na utalii nchini imezindua mkakati wa kukuza na kutangaza vivutio vya utalii nyanda za juu kusini kupitia mradi wa kuboresha usimamizi wa maliasili na kukuza utalii wa kusini ikiwa ni jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya utalii

Waziri wa  maliasili na utalii Balozi Dr.Pindi chana amesema kwa sasa wizara inaendelea na uboreshaji wa miundombinu katika vivutio vya utalii kupitia mradi wa Regrow lengo likiwa ni kuimarisha vivutio vyote vya utalii kusini mwa tanzania.

Mkakati huo umeshirikirikisha mikoa Tisa ya kusini mwa Tanzania ambapo wakuu wa mikoa hiyo kwa umoja wao wameahidi kutoa ushirikiano kwa wizara katika kuhakikisha wanaboresha na kutangaza vivutio vya utalii.

Uboreshaji wa vivutio unalenga kupanua wigo katika wizara ya utalii ili kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali.
Wakati jitihada hizo zikifanyika mkoa wa njombe umeomba uboreshaji wa uwanja wa ndege ili uweze kutumika huku wananchi wakitakiwa kutoa ushirikiano katika kutuza vivutio hivyo
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava