Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michezo yampatia uongozi CCM

Jumanne , 26th Sep , 2017

Vijana wa umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wamesema kuwa wamemchagua Mwenyekiti wa Vijana wilaya ya Njombe ambaye atawakutanisha katika michezo kwa kuwa ni sehemu inayoweza kuwakutanisha vijana na kubadilishana mawazo na kuachana na

tabia hatarishi. 

Wakizungumza baada ya uchaguzi vijana hao wamesema kuwa kilichowafanya kumpatia ushindi Mwenyekiti Devota Kyoko ni kutokana na kujinadi kuwa atawaunganisha vijana kupitia michezo.

Mwenyekiti huyo atakaye dumu kwa muda wa miaka mitano katika kiti hicho aliyepatikana katika uchaguzi wa vijana wa chama hicho amesema kuwa vijana watatambua vipaji vyao kupitia michezo mbailimbali na kutafuta wafadhili wa vifaa vya michezo.

Aidha Kyoko amefunguka na kusema michezo inawakutanisha vijana na michezo sasa ni ajira vijana kama watatumia vizuri vipaji vyao baada ya kuvitambua watapata ajira zenye maslahi makubwa kuliko wasipo jihusisha na michezo.

"Michezo itasaidia vijana kujikinga na athari ya maambukizi ya virusi vya ukimwi,. Nimejipanga kuwatafutia vijana wafadhili mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia kwenye michezo. Nitahakikisha kila kata vijana wanapata vifaa vyite vya michezo" Bi Kyoko amesema.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava