Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgombea Urais, Demokrasia Makini kukomesha ubakaji

Jumapili , 18th Oct , 2020

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini Mh. Cecilia Mmanga amesema endapo atapata ridhaa ya kuliongoza taifa la Tanzania atahakikisha watuhumiwa wa makosa ya ubakaji na ulawiti wanapewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo.

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini Mh. Cecilia Mmanga.

Mh. Cecilia amesema hayo wakati akizungumza katika moja ya kampeni zake alizozifanya wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani ambapo amesema vitendo vya ulawiti na ubakaji kamwe hatovifumbia macho kwani vimekuwa vikisababisha kuharibu utu wa mtoto ikiwemo mmomonyoko wa maadili kwa taifa.

"Sitawafumbia macho wale wote wanaofanya vitendo vya ubakaji na ulawiti, wanakatisha ndoto za watoto wetu. Katika uongozi wangu sitowaacha salama", amesema Mmanga.

Kuhusu tozo wanazotozwa wananchi pindi wanapokwenda hospitali kuchukua maiti za wapendwa mgombea huyo amesema atahakikisha anaondoa gharama ambazo zimekuwa zikisababisha kero kubwa kwa Watanzania kote nchini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava