Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meya wa Dar kuongea na Umoja wa Mataifa

Jumatatu , 11th Dec , 2017

Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita, anatarajia kuzungumza katika mkutano wa kujadili changamoto zinazo wakabili viongozi wa serikali za mitaa, ulioandaliwa na Umoja wa Mataifa jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.

Mkutano huo wa siku tatu unaanza leo na unatarajiwa kujadili na kutoa majibu ya changamoto mbalimbali ambazo wanakutana nazo viongozi wa serikali za mitaa wakiwemo Mameya.

Meya Mwita ameondoka nchini jana jioni kuelekea  Addis Ababa, ambapo katika mkutano huo atazungumza kuelezea changamoto zilizopo katika jiji la Dar es Salaam na namna ambavyo  kwa asilimia kadhaa wameweza kuzitatua.

Mbali na Mameya, mkutano huo pia utahudhuriwa na viongozi wengine wa serikali za mitaa kutoka Nchi mbalimbali duniani. Lengo kuu ni viongozi hao kujadili changamoto zinazozikabili halmshauri zao, mafanikio, lakini pia kujengeana uwezo kwenye utendaji kazi.

Miongoni mwa changamoto ambazo mkutano huo utajikita katika kuzijadili ni suala la bajeti katika halmashauri na ukusaji wa mapato ambavyo ndio msingi wa maendeleo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava