Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meridian Bet yasaidia ujenzi kituo cha yatima

Jumapili , 7th Mar , 2021

Uongozi wa kampuni ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet imetoa mkono wa faraja kwenye kituo cha kulea watoto yatima cha Mama wa Huruma kilichopo Madale, Dar es Salaam.

Afisa Huduma wa jamii wa Meridian Bet, Amani Maeda aliyeambatana na meneja mwendeshaji, Corrie Borman wamesema kampuni yao imeguswa na changamoto ya kituo hicho na kujitoa kukisaidia.

Alisema kwa namna Meridian Bet inavyoguswa na jamii, wameona kusaidia kituo hicho ni wajibu wao kama ambavyo wamekuwa wakifanya kwa jamii yenye uhitaji.

"Tumetoa cement, gypsum poda na pesa kidogo kama kianzio katika ukarabati wa jengo ambalo linatumiwa kama bweni na watoto hawa ambalo tumeelezwa linatumika lakini halijakamilika kujengwa, pia tumetoa vyakula kama sukari, unga, mchele, mafuta na sabuni,".

Sister wa kituo hicho, Christina Christopher aliishukuru Meridian Bet na kueleza kwamba wamewapa faraja kipindi hiki ambacho wako kwenye changamoto ya watoto kulala kwenye jengo ambalo halijakamilika.

Alisema baadhi ya watoto wanalazimika kulala katika jengo hilo ili kupunguza msongomano kwenye jengo la awali kwa lengo la kuchukua tahadhari ya janga la corona kwa kupunguza msongamano kwenye jengo la awali.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava