Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambosasa awapa tahadhari madereva wakaidi Dar

Jumanne , 13th Aug , 2019

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema jeshi hilo limeshakamata vyombo vya moto takribani 126, pikipiki zikiwa 87, bajaji 13 na na magari 26 yenye ving'ora na taa sumbufu (Spotlight).

Kamanda Lazaro Mambosasa

Hatua hiyo imefikiwa baada ya wahusika kukaidi agizo lake la kutofika maeneo ya mjini
pamoja na agizo la watu wenye magari ya aina hiyo kuhakikisha wanatoa vifaa hivyo haraka iwezekanavyo.

Kamanda Mambosasa ametoa taarifa hiyo leo Agosti 13, ikiwa ni takribani wiki moja tu tangu atoe marufuku hiyo, lakini watu wengi wameonekana kukaidi agizo hilo, ambapo amewataka wananchi kuendelea kutii sheria bila shurti.

''Ukisubiri kushurustishwa watu walioandaliwa kukushurutisha tupo, kukuwezesha ili uweze kuzitii sheria husika lakini ukizitii mwenyewe bila kusukumwa ni jambo la heri sana na siku zote wanasema heri ya hiari inashinda kusubiri kutumwa'', amesema Kamanda Mambosasa.

Agizo hilo la kuzuia bodaboda kufika maeneo ya mjini pamoja na wenye magari binafsi yanayoleta taharuki na usumbufu barabarani lilitolewa, Agosti 5 ikiwa ni kipindi cha maandalizi ya kupokea wageni kutoka nchi 15, wataokuja kwa ajili ya  Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava