Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majeruhi 6 wa Treni wahamishiwa Bugando

Alhamisi , 23rd Jun , 2022

Majeruhi 6 kati ya 132 wa ajali ya Treni iliyotokea jana Juni 22, 2022, katika eneo la Malolo mkoani Tabora na kusababisha vifo vya watu wanne wamesafirishwa kwa rufaa kutoka Hospitali ya mkoa wa Tabora  Kitete  kwenda Bugando kwa ajili ya  matibabu zaidi.

Mabehewa ya abiria yaliyoanguka

Mkuu wa mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani, amesema hali ya majeruhi waliowengi  maendeleo yao ni mazuri na wengine wameruhusiwa kabisa kutoka katika hospitali ,huku akitaja majeruhi 6 wenyewe wamesafirishwa kwenda mkoani Mwanza.

Hata hivyo zoezi la kuwasafirisha abiria zaidi ya 900 walionusurika katika ajali ya Treni hiyo hapo jana ambayo ilikuwa ikitoka mkoa wa Kigoma kupitia Tabora mpaka Dar es Salaam, limefanyika usiku wa jana huku chanzo cha ajali kikielezwa kuwa ni  kukatika kwa kipande kimoja cha reli na hivyo kusababisha mabehewa  8  ya abiria kuanguka .

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava