Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama yazuia Mbowe kukamatwa

Jumanne , 21st Feb , 2017

Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kufuatia kutajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda katika sakata la dawa za kulevya imeunguruma leo ambapo mahakama kuu imeweka zuio la muda kwa Mbowe kukamatwa.

Freeman Mbowe na wanasheria wake, nje ya mahakama

Akizungumza nje ya Mahakama, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema mahakama imekubali maombi ya chama hicho ya kuweka zuio kwa Jeshi la Polisi kumkamata Freeman Mbowe hadi hapo shauri hilo litakaposikilizwa, maombi ambayo yamekubaliwa.

Pia amesema mahakama imetoa nguvu kwa jeshi la polisi kumuita Mbowe kwa ajili ya mahojiano lakini si kumkamata.

Lissu amesema maamuzi mengine yaliyotolewa na mahakama ni kumtaka mleta maombi ambaye ni Mbowe, kufanyia marekebisho maombi yao kwenye shauri la msingi kwa kumuingiza Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Maombi hayo yanayohusu zuio la Mbowe kukamatwa yatasikilizwa tena kesho kutwa Februari 23 katika mahakama ya wazi, lakini kesi yenyewe itasikilizwa terehe 8, mwezi Machi baada ya kuwa wamefanyia marekebisho maombi yao.

Huyu hapa Tundu Lissu akifafanua

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava