Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magari yaliyokaguliwa kuwekwa stika na jina

Jumatano , 20th Oct , 2021

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Wilbroad Mutafungwa, amesema magari yatakayofanyiwa ukaguzi katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama yatawekewa stika maalum na jina la Askari aliyelifanyia ukaguzi kwa lengo la kuepusha janja janja ya madereva wenye magari mabovu.

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Wilbroad Mutafungwa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Oktoba 20, 2021, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, katika kuelekea maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani ambayo yatafanyika mkoani Arusha yenye kauli mbiu isemayo, “Jali Maisha Yako Na Ya Wengine Barabrani”.

"Katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama, gari ikikaguliwa itawekwa sticker maalum itakayoonesha kwamba hili gari limeshakaguliwa na pia gari litawekwe bampa sticker ya ujumbe wetu wa mwaka huu, kwa lengo la madereva kujikumbusha," amesema Kamanda Mutafungwa

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava