Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lijualikali hawezi kupoteza ubunge - Lissu

Alhamisi , 12th Jan , 2017

Siku moja baada ya Mbunge wa Kilombero Mhe. Peter Ambrose Lijualikali kuhukumiwa na Mahakama kwenda jela miezi 6, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeandaa timu ya wanasheria kwa ajili ya kuanza taratibu za kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo

Tundu Lissu

Akizungumza na vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam, Mwanasheria Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amesema timu ya wanasheria wa chama hicho wameanza taratibu za kukata rufaa, kwa kuandaa notisi ya rufaa na maombi ya dhamana ya dharura wakati uamuzi juu ya rufaa yake ukisubiriwa ili Mhe. Lijualikali  aweze kupata dhamana huku wakiendelea na kesi hiyo.

Aidha, Mhe. Lissu amesema, hukumu hiyo kwa Mhe. Peter Lijualikali haina athari zozote kwa hadhi yake kama mbunge wa jimbo la Kilombero kwani Katiba imeeleza wazi juu ya makosa yanayoondoa sifa za kuwa mbunge na kwamba adhabu ya kifungo alichopewa haijazidi miezi 6 na kosa alilohukumiwa siyo kosa la kugushi, ubadhirifu ama makosa mengine yanayoambatana na utovu wa uaminifu.

Peter Lijualikali

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava