Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Laini za simu milioni mbili hatarini kuzimwa

Jumanne , 24th Jan , 2023

Serikali inatarajiwa kuzima laini za simu zaidi ya milioni mbili ifikapo Februari 13 mwaka huu iwapo wamiliki wake hawatakuwa tayari kuzihakiki

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye amesema lengo ni kuwadhibiti matapeli wa mitandaoni

Aidha Waziri NAPE amesema serikali imeteua kamati ya  watu tisa watakaokuwa na jukumu  la kutathimini uchumi wa wanahabari.

Waziri Nape amewataka watanzania kuhakiki laini zao kwa kuwa yoyote aliyesajili kwa uongo hawezi kuhakiki laini hiyo

"Kuna laini nyingi mtaani, ambazo watu wametumia vitambulisho vya watu wengine kusajili laini, na zinatumika kufanya utapeli, kwa hiyo laini tunazokwenda kuzizima ni zile ambazo zimesajiliwa, lakini zimesajiliwa kwa uongo," 

"Kama hujaisajili kwa uongo nenda kaihakiki, yoyote aliyesajili kwa uongo hawezi kuhakiki, kwa sababu ule utaratibu wa uhakiki utamnyima baadhi ya taarifa" amesema Waziri Nape

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava