Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kwenye mabwawa yetu mvua haijanyesha"- TANESCO

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema kwamba bado ukame unaendelea kuyakumba mabwawa ya uzalishaji wa umeme yanayotegemewa na shirika hilo licha ya uwepo wa mvua kwenye baadhi ya maeneo nchini.

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande

Kauli hiyo imetolewa hii leo Desemba 02, 2022, jijini Dar es Salaam, na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo Maharage Chande, wakati akitoa taarifa ya hali ya umeme nchini.

"Kwa kipindi cha wiki moja tangu tarehe 23 katika mabwawa yetu hatujaona mtiririko wa maji wa kutosha kuweza kuongeza uzalishaji wa umeme," amesema Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO

Aidha Mkurugenzi huo ameongeza kuwa "Ni kweli baadhi ya maeneo tumeanza kuona mvua zikinyesha, lakini yale maeneo muhimu yanayodaka maji kwenye mabwawa yetu bado mvua hazijaanza kunyesha, mikakati yetu bado imejikita kuongeza nguvu katika uzalishaji wa gesi, ile sababu ya ukame tuliyoizungumza bado ipo unaweza ukaona mvua imenyesha Mkuranga ukasema mbona Mkuranga inanyesha, ni ndiyo lakini hainyeshi kwenye mabwawa yetu," amesema Mkurugenzi huyo.

Akizungumzia suala la mradi wa Kinyerezi 1 Extension amesema, "Tulisema kwamba kituo cha Kinyerezi namba 1 extension tulisema tutapata megawatt 60 tukifika wiki hii ya kwanza ya Desemba, mpaka saas tunapata Mg 65, vimebaki vitu vichchewiki inayokuja tutavimaliza ili tupate megawatt 90 Desemba mwishoni,".

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava