Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kijana ateswa na ugonjwa huu kwa miaka sita.

Alhamisi , 23rd Mar , 2023

Kijana mmoja aliyefahamika kwa majina ya Eliya Zabroni Shilinde mkazi wa Gongolamboto amejitokeza kuwaomba wadau,wafadhili msaada kutokana na changamoto ya kiafya aliyonayo kwenye mwili wake kwa takribani miaka sita kutokana na kupata aleji ya dawa alizomeza kutokana na maumivu ya kichwa

Eliya Shilinde ajitokeza kuomba msaada wa matibabu.

Akizungumza kwa tabu kijana huyo akikatisha maongezi kutokana na miwasho mikali mwilini mwake akibainisha kuwa anapata tabu ya kutokana na miwasho kuacha mabaka na ngozi kubanduka.

Kijana huyo amesema kutokana na uduni wa familia yake yuko na mama yake mzazi asiye na uwezo n kwamba anatamani kupata msaada kutoka kwa watanzania watakaoguswa na madhira anayopitia.

Mama mzazi anasema Eliya ni mtoto wa tatu kwenye familia yake baada ya mumewe kufariki Eliya akiwa na matatizo hayo mwaka wa tatu ameeleza kuwa imemlazimu kuacha kazi ili kumsaidia kijana wake akimwogesha na kumpa huduma zote licha ya kuwa na jinsia tofauti na yeye.

Waswahili wanasema hujafa hujaumbika eliya alikuwa mzima na sasa anapitia madhira magumu huku hali ya maisha ikiwa tete kijana wa kiume akifanyiwa huduma zote za kiafya na mama yake mzazi nani kama mama.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava