Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya yasitisha safari za Uingereza

Jumanne , 6th Apr , 2021

Shirika la Ndege la Kenya Airways limesitisha safari zake kuelekea Uingereza kufuatia mzozo wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo mawili, hivyo watu wanaotaka kusafiri kwenye mataifa hayo wametakiwa kufikia tarehe tisa mwezi huu, kabla ya hatua hiyo kuanza kutekelezwa.

Wizara ya mambo ya nje ya wingereza ilikuwa ya kwanza kutoa ilani kwa raia wanaosafiri wingereza kutoka Kenya na mataifa mengine Afrika, ilani iliyotolewa na kuwataka wasafiri na ndege zote zinazotoka mataifa hayo kusitisha safari zake, ikitaja maambukizi ya virusi vya corona kuwa chanzo cha hatua hiyo.

Kenya kwa upande wake ikijibu Uingereza, ilisema kuwa hatua hiyo imaonyesha mapendeleo na ubaguzi, kwani taifa hili linaendelea kuchukuwa tahadhari zote kwa mujibu wa shirika la afya ulimwenguni, hivyo haikustahili kuwa kwenye orodha ya mataifa yanayozuiliwa kuenda wingereza.

kwa taarifa ya Wizara ya mambo ya Nje ya Kenya kwa vyombo vya habari, imeijibu uingereza kwa kuwawekea vikwazo raia wa uingereza wanaosafiri kuingia Kenya, au ndege zozote zinazo tokea huko Uingereza ambapo ni sharti raia wake wawekwe karantini ya lazima kwa siku kumi nane, kinyume na ilivyokuwa awali na watahitajika kulipia karantini hiyo pamoja na kuhitajika kupimwa corona mara mbili.

Kenya inaeleza kuwa hatua ya Uingereza kwa mataifa hayo ya afrika yaliyotajwa kwenye orodha hiyo inaonyesha ubaguzi na maendeleo, ikisema kuwa hii itavuruga uhusiani mwema kati ya mataifa hayo na uingereza kibiashara, utalii na sekta zingine muhimu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava