Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kama alivyosema Makonda ''Wameoga'' - Kamwelwe

Alhamisi , 1st Aug , 2019

Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amemuomba Rais Magufuli uwekwe utaratibu kwa ajili ya kulifanyia ukarabati wa Jengo la pili la Abiria ili liwe na uwezo wa kubeba abiria wengi zaidi.

Waziri Kamwelwe ameyabainisha hayo leo Agosti 1 wakati wa uzinduzi wa Jengo la tatu la abiria (Terminal III) katika uwanja wa ndege wa julius Nyerere.

'Ombi langu kwako Mh Rais,  jengo lile Terminali II  linahitaji mambo mawili, moja  kuikarabati ipendeze kama ambavyo wamependeza wananchi waliokusanyika hapa kama alivyosema Makonda ''Wameoga'',lifanyiwe marekebisho ili nalenyewe ling'are  kama jengo la tatu lilivyo, pili katika kukarabati huko liongezewa capacity ikiwezekana mara mbili badala ya kubeba abiria milioni 1.5 libebe abiria milioni 3'' amesema Waziri Kamwelwe.

Jengo la tatu la abiria (TERMINAL III) katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, limegharimu kiasi cha shilingi bilioni 560 na litakuwa na uwezo wa kubeba abiria milioni 6 kwa mwaka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava