Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM aombwa kunusuru mamilioni ya CUF

Jumanne , 10th Jan , 2017

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama Cha wananchi CUF Julius Mtatiiro amemuomba  Rais Jonh Magufuli kuingilia kati utakatishaji na uhamishaji wa fedha kiasi cha sh. milioni 369 za chama hicho, kutoka hazina na kuhamishiwa kwenye akauti binafsi.

Julius Mtatiro - Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF

 

Akizungmza leo na wanahabari  jijini Dar es salaam  Mtatiro amesema kuwa fedha hizo ni za Ruzuku ya chama,  hivyo zimehamishwa Januari 5 mwaka huu,bila ya kuwepo kwa taarifa kwenye bodi ya udhamini wa chama hicho,nakuziomba  mamlaka husika ikiwemo taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali (CAG) kufanya uchunguzi dhidi ya uhamishaji huo.

Kufuatia hatua hiyo CUF imeanza kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na viongozi wa juu wa chama hicho,kuanza kukutana ili  kujadili kile alichokiita kuwa ni shambulio ili  kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu waliyohusika na  utakatishaji na uhamishaji wa fedha hizo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava