Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jaji mkuu awataja wanaochelewesha kesi

Ijumaa , 19th Jul , 2019

Jaji Mkuu wa Tanzania Ibrahimu Juma, amesema kumekuwa na changamoto ya watuhumiwa kukamatwa wakati upelelezi haujakamilika na kwamba kitendo hicho ni kinyume kwani kinapelekea wafungwa kujaa magerezani.

Jaji Mkuu Ibrahimu Juma

Hayo ameyabainisha mara baada ya kuwaapisha mawakili ambapo amesema, tangazo lililotolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) mwaka 2012, linawataka wasikamate watu kabla ya upelelezi kukamilika.

Aidha, Jaji Mkuu amesema kumekuwa na changamoto za upelelezi kutumia muda mrefu, kukamilika hivvyo wapelelezi wanatakiwa kulaumiwa na sio mahakama.

"Watu wa kulaumiwa hasa ni wapelelezi na sio mahakama, upelelezi unachukua muda mrefu na sababu wanazozitoa mahakamani, hazina mashiko, sisi tunataratibu zetu ambazo DPP alishazitoa katika tangazo la mwaka 2012," amesema Jaji Mkuu.

Na kuongeza kuwa, ''tangazo linasema usimkamate mtu kabla ya upelelezi kukamilisha, bahati mbaya hilo halifuatwi watu wanawakamata ndipo upelelezi unaanza inachangia kuongeza wafungwa gerezani," alisema Jaji Mkuu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava