Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hupati uwaziri kwa porojo - Katani

Ijumaa , 19th Mei , 2017

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmadi Katani amemponda Mbunge mwenzake kutoka Singida Magharibi Elibariki Kingu kwa kumwambia kuongea kwake maneno mengi ya kisiasa Bungeni siyo tiketi ya kupewa uwaziri na Rais Magufuli katika awamu hii ya tano

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara, Katani Ahmadi Katani

Katani amesema hayo baada ya Mbunge huyo kudai kilichojaa kwenye hotuba ya kambi pinzani bungeni ni malalamiko tu hakuna 'altenative' ya nini kifanyike katika mustakabali wa nchi.

"Serikali hii ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt. JPM siyo ukipiga maneno ndiyo anakupa uwaziri, hakupi uwaziri...Wote ukiwaangalia waliopewa uwaziri, unaibu waziri ni watu makini, wametulia siyo maneno maneno ya siasa. Sasa kama mnataka mnataka uwaziri kwa namna hiyo, uwaziri haupo na hakuna rishafo kwa bahati nzuri nimenusa...Kwa hiyo mnapokuja hapa muwe na hoja za msingi za kuishauri serikali". Alisema Katani

Pamoja na hayo Mhe. Katani amekili kuwa ni kweli kambi ya upinzani hawana mawazo mbadala katika kuishauri serikali juu ya kufanya ili iweze kuwa na maendeleo mazuri.

"Nikubaliane na wewe Kingu sisi wapinzani tutasema, serikali ndiyo inatekeleza  kwa hiyo unavyosema hatuna 'altenative' sisi hatupo kwenye mamlaka hayo kweli hatuna 'altenative' tutashauri tu... Nyie wenye mamlaka ndiyo mnawajibu sasa tunayoyashauri kuyafanya au kutoyafanya. Sitarajii tukija kwenye wizara nyingine mtapiga ngonyela hapa na kwaya zenu za vyama za siasa". Alisisitiza Katani

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava