Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatua zinazoendelea ujenzi wa taifa la kidijitali

Jumatano , 20th Oct , 2021

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa TEHAMA 2021, Mulembwa Munaku, amesema jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia taifa la kidijitali.

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano

Munaku ameyasema hayo leo kwenye Ukumbi wa Simba ndani Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha wakati akieleza muelekeo wa kidijitali kama taifa na jitihada mbalimbali zinazoendelea katika kufikia uchumi wa kidijitali.

''Kama ambavyo tunafahamu 75% ya wananchi ni vijana, ni wazi tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye TEHAMA ili kuwawezesha kujikwamua ikiwemo kupata ajira na kujiajiri wenyewe kupitia teknolojia katika ulimwengu huu wa kidijitali, kwasababu ni asilimia 25 ndio wanapata ajira rasmi,'' amesema Mulembwa Munaku.

Aidha ameongeza kuwa, ''Mahitaji bado ni makubwa kwenye uwekezaji wa kufikisha 'internet' kwenye maeneo ya vijijini, hata hivyo tunayashukuru makampuni mbalimbali ya mitandao ya simu kwa kuendelea kufikisha huduma katika maeneo hayo,''.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava