Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Half cake yampa kiwanja Kakobe

Alhamisi , 29th Sep , 2022

Kampeni ya Mama lishe wa thamani imefikia tamati kwa mkoa wa Dar es Salaam katika wilaya zake zote tano ambazo ni Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo na Ilala, ambapo hii leo imempata mpishi hodari wa half cake ndani ya wilaya ya Ilala na kupatiwa zawadi ya kiwanja.

Veronica Kakobe kulia, akipatiwa zawadi kutoka Poa Supermarket baada ya kushinda

Awali katika shindano la kumsaka Mamalishe wa thamani lilianzia Temeke kumpata mkali wa chapati, kisha Kigamboni kumpata hodari wa kalmati, kindoni kumpata hodari wa maandazi, Ubungo kumpata hodari wa donati, na hatimaye hodari wa half cake Ilala nzima akapatikana.

Akizungumza mara baada ya kuibuka mshindi na kuzawadiwa zawadi ya kiwanja kutoka Mwendapole CO.LTD pamoja na zawadi mbalimbali ikiwemo sukari na mafuta, na kushukuru kwa nafasi hiyo huku akiwaomba wanawake wengine kujitokeza wanaposikia fursa za namna hiyo

Kwa upande wao baadhi ya wadhamini wa shindano hilo, wamjivunia kuwa sehemu ya shindano hilo, kwani wameyaona manufaa na umuhimu katika kuwainua na kuwaendeleza wanawake kiuchumi.

Shindano Mama Lishe wa thamani litaifikia mikoa mbalimbali nchini na je ungependa tuanze na mkoa gani baada ya Dar es Salaam?, tuandikie maoni yako ya mkoa unaotaka tuanze kupitia mitandao yetu ya kijamii ya East Africa Radio na utuambie ni kitafunwa gani kinapendwa kwenye huo mkoa.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20