Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dawa za kuvutia wanaume wapewe ambao hawajaolewa

Jumamosi , 6th Feb , 2021

Wazazi ambao wanawapa dawa za mvuto na nyota watoto wadogo ili wapendwe, wametakiwa kuwapa dawa hizo watu wazima ambao hawajaolewa badala ya kuharibu ndoto za watoto kwa kuwakatisha masomo, hali inayopelekea kukumbana na mimba za utotoni.

Josephine Ngoda

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa asasi ya wanawake laki moja Josephine Ngoda, wakati akizungumza na wanawake wa mkoa wa Shinyanga kwenye uzinduzi wa asasi hiyo,ambapo amesema mkoa huo umekuwa na matukio mengi ya ukatili wa kijinsia vikiwemo vipigo, ubakaji wa watoto na kulawiti vitendo ambavyo vinasikitisha na kuumiza jamii.

Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack, akizindua asasi hiyo inayojihusisha na kupinga ukatili wa kijinsia na umaskini, amewataka wanawake kuvunja ukimya na kuacha kufumbia macho vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa.

Aidha RC Telack amewataka wanawake kuacha kuwalaza chumba kimoja watoto wa kike na wakiume pamoja na kuwalaza na wageni kwani ni hatari na ni chanzo cha watoto wa kike kuanza kufanyiwa vitendo vya ukatili na kupewa maneno ya vitisho kwamba wasiseme.
 

HABARI ZAIDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi

Wasimamizi wa uchaguzi waongezwe posho - Katambi