Albert Chalamila alipokuwa Mwenge sokoni
Chalamila amefanya ziara hiyo leo Mei 16, 2023 ikiwa ni siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan alipofanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa na hivyo kumuhamisha kutoka mkoani Kagera alikohuduma kwa zaidi ya miezi sita.