Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA wataja walichoteta na Rais Samia Ikulu

Jumatatu , 23rd Mei , 2022

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetaja mambo kumi waliyoyafikisha katika kikao walichoshiriki wiki iliyopita kilichoongozwa na Rais Samia Suluhu na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM na CHADEMA.

Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika

Akizungumza na wanahabari leo Mei 23/2022 Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema miongoni mwa ajenda hizo ni Mchakato wa Katiba mpya, Madhara ya ukiukwaji wa haki kwa miaka sita iliyopita na kupendekeza kuundwa kwa tume ya ukweli na upatanishi.

Mengine ni kushughulikiwa kwa madhara yaliyotokana na uchaguzi wa 2020, uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake, kufutwa kwa kesi zenye muelekeo wa kisiasa, kurekebisha sheria kandamizi, kushughilikia masuala yanayohusu viongozi, wanachama na watu walioshambuliwa, kupotea au kuuawa kwa sababu za kisiasa.

Aidha ametaja masuala mengine kuwa ni sakata la wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa CHADEMA, hakikisho la usalama kwa viongozi waliopo nje kwa sababu za kisiasa, kuvurugwa kwa kambi ya upinzani bungeni, pamoja na madhara yaliyowakumba watu mbalimbali kwa sababu ya kukandamizwa kwa haki na Demokrasia.

Mnyika amewataka wanachama wa CHADEMA kuwa watulivu katika kipindi hiki cha mazungumzo hayo huku akisema taarifa za kinachoendelea kitatolewa kupitia vikao halali vya chama hicho

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava