Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bilioni 3 kutolewa kwa vijana nchini

Ijumaa , 23rd Sep , 2022

Ubalozi wa Uswisi kwa kushirikina na ubalozi wa Norway nchini Tanzania, wamesaini mkataba wa zaidi ya shilingi bilioni 3 za Kitanzania kwa ajili ya kuwasaidia vijana wabunifu na wenye vipaji kuweza kujiajiri na kuchangia katika kukuza uchumi wao na Taifa kwa ujumla.

Mabalozi wakisaini mkataba wa bilioni 3

Akizungumza kwa niaba ya Ubalozi wa Uswisi baada ya zoezi la utiaji saini, Leo Nascher ameeleza kuwa ubalozi utaendelea kuwashika mkono vijana katika kuwajengea uwezo kwenye vipaji na ubunifu ambao wamekuwa wakiufanya, 

Kwa niaba ya Balozi wa Norway Kjetil Schie, amewataka wadau wengine kuungana katika kuwasaidia vijana wenye vipaji na mawazo ya ubunifu, na kuacha kuwakatisha tamaa.

Kwa upande wao vijana wenye vipaji na wanaojishughulisha na sanaa, wamewataka wazazi kubadili mitazamo yao, na kuacha kuwa kikwazo kwa vijana waopenda sambamba, huku wakiomba serikali pia kuwaangalia na kuendelea kuwasaidia.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava