Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Audio: Bomoa Bomoa Kimara, u-CHADEMA wahusishwa

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Meya wa Manispaa ya Ubungo Mh. Boniface Jacob, amelezea tukio la bomoa bomoa linaloendelea katika maeneo ya Kimara na kuathiri wakazi wake kuwa ni la uonevu na lenye kubebwa kisiasa.

Meya wa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob

Akizungumza na East Africa Radio, Boniface Jacob amesema kitendo hicho kimekuwa cha uonevu kwa sababu kesi bado iko mahamani, lakini serikali imetoa amri nyumba hizo zibomolewe, bila kusubiria hatma ya kesi.

Boniface Jacob pia ameelezea tukio hilo limebebwa na sura ya kisiasa na kusema kuwa kitendo cha wakazi wa maeneo hayo kuwa upande wa vyama vya upinzani ndiyo umewagharimu, na kufanyiwa vitendo vya uonevu wa hali ya juu.

Eneo la Kimara kumefanyika zoezi la kubomoa nyumba na ambalo limeonekana kuathiri kiasi kikubwa cha wakazi wa maeneo hayo, na kuibua malalamiko mengi kwa watanzania ambao hata siyo wakazi wa maeneo haya.

East Africa Radio ilifanya jitihada za kumtafuta Afisa Mtendaji Mkuu TANROADS, Mhandisi Patrick Mfugale ili iweze kuweka bayana suala hilo, na kusema kuwa kitu ambacho yeye anafahamu kesi ya mahakamani iliisha tangu mwaka 1993 na serikali ilishinda, hivyo walikuwa na amri napo, lakini kabla ya kuanza zoezi la ubomoaji walishatoa 'notice' kwa wakazi hao ili waweze kutoka maeneo hayo.

Sikiliza maongezi ya watu wote wawili wakelezea suala hilo

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava