Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Anapanga mpango wa kuja kuwateka"- Waziri Mwigulu

Jumatatu , 19th Feb , 2018

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. Mwigulu Nchemba amewataka askari Magereza nchini kulinda taratibu za Magereza, kutokana na taarifa za baadhi ya askari wa jeshi hilo kuwapa simu wafungwa kwa ajili ya mawasiliano.

Waziri Nchemba amesema hayo katika uzunduzi wa gereza la Wilaya ya Chato, Mkoani Geita, na kuwataka Askari magereza hao kuwa waadilifu katika kutekeleza majukumu yao.

"Zamani unaweza kudhania kwamba wanasalimia familia lakini si sasa. Leo unaweza kumpa simu mfungwa ukidhani anasalimia familia kumbe anapanga mpango wa kuja kuwateka hapo hapo, majira yamebadilika. Sasa kwa sababu sheria zipo tuzingatie maadili ya sheria hizo ili kuweza kuhakikisha tunadumisha usalama na maadili magerezani", amesema Mwigulu.

Katika hatua nyingine Waziri Nchemba, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, kuwachukulia hatua waliohusika na kifo cha Mwanafunzi pamoja na matukio mengine ya mauaji yaliyotekelezwa hivi karibuni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava