Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amuuwa bosi na watoto wake kisa kugombezwa

Jumamosi , 12th Jun , 2021

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa majina ya Shedrak Kapanga (34), amabye alikuwa ni msaidizi wa kazi za ndani kwa tuhuma za kumuua bosi wake na watoto wake wawili kwa madai ya kwamba amekuwa akimgombeza mara kwa mara.

Emmy Mutaboyerwa (katikati) na wanaye Daniela na Damita Mutaboyerwa.

Taarifa hiyo imetolewa leo Juni 12, 2021, na Kamanda wa kanda hiyo Muliro Jumanne, wakati akizungumza na Radio One na kueleza kuwa tukio hilo limetokea Juni 9, 2021, maeneo ya Masaki Dar es Salaam, na mtuhumiwa amekamatwa jana Juni 11, 2021, maeneo ya Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka.

Waliofariki ni Emmy Mutaboyerwa ambaye ni Mama na mabinti zake wawili Daniela na Damita Mutaboyerwa.

Aidha taarifa imeongeza kuwa mara baada ya mtuhumiwa huyo kukamatwa wakati akijiandaa kutoroka alikutwa na simu za marehemu, Television na king'amuzi cha DSTV na remote.

Kamanda Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa tukio hilo umebaini kwamba, mtuhumiwa alimpiga kila mmoja na kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na baada ya kuwauwa aliwafungia ndani na kisha yeye kutoroka.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava