Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyerekodi Madiwani CHADEMA apiga mkwara

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Diwani wa Mbuguni, Bw. Ahimidiwe Ali Rico amesema kwamba watu wasihamishe mjadala wa kuhusu mamlaka ya kurekodi madiwani waliohama Chama cha demokrasia na Maendeleo, CHADEMA na badadala yake mjadala ni kuhusu kupambana na rushwa.

Bw. Ahimidiwe amesema kwamba hana unafki wala nidhamu ya uoga ndiyo maana aliamua kufanya kazi hiyo ili kulikomboa taifa kutoka kwenye harufu ya rushwa na kuwataka wanaozusha maneno watulie kabla hajawaaibisha zaidi.

Diwani huyo ameweka wazi kwamba mkakati huo wa kurekodi na kuwachunguza viongozi wanapokea na kutoa rushwa ulianza muda mrefu na kwamba yupo makini katika hilo na wala siyo filamu kama jinsi ambavyo wanasiasa hao walivyoanza kuzusha.

"Mchezo uliokuwa unafanywa Arumeru nilianza kuufanyia kazi muda mrefu baada ya kuona madiwani wanaondoka kama njugu. Ushahisdi wa kifaa kilichotumika kipo tyayari Takukuru na sijataka kuingilia ushahidi wao hivyo ni jukumu lao kuonyesha kwa watanzania namna haki inavyotendeka" Ahimidiwe

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava